BERNICK KIMIRO aibuka mshindi wa Maisha Plus 2012
Venance ashika nafasi ya pili na Justin awa mshindi wa tatu... .
Wanakijiji waadhimisha siku ya TUNAWEZA
Wawasha Mishumaa, wajaza form, wakiri kwa vinywa vyao. .
Wanakijiji 18 waingia Kikaangoni..!
Nani kati yao kushinda Tsh. Millioni 20.. ..

Featured Videos
Advertisement

suluhu ya simu kuhusu mshiriki venance
Venance alifananishwa na Ibrahim siku ya fainali. Hapa suluhu inafanyika, Ibrahim anakutanishwa na familia yake. Story yake inasikitisha sana. Je Ibrahim ni nani? Tazama.
fainali za maisha plus 2012
Safari ndefu iliyoanza kwa usaili katika mikoa mbalimbali ya Tanzania na kisha washiriki kuishi kijijini kwa takribani siku 60 imefikia tamati. Video hii inaonyesha fainali hizo kijijini Maisha Plus.


































